Ishu ya ugomvi au kutoelewana kati ya rapper T.I na bondia Floyd Mayweather kisa Mayweather kuhusishwa na ishu ya kulala na mke wa T.I. !! leo imepata headline nyingine baada ya T.I kuhojiwa akiwa anatembea town. Kwa ufupi ameonekana kukanusha kuyatambua mambo kadhaa yaliyotokea na kusisitiza ameshafunga mjadala wa kuongelea ishu yake na Mayweather, hakuna ugomvi kati yao
Wednesday, 4 June 2014
New
T.I amekutwa mtaani akaulizwa kuhusu yeye na Mayweather, majibu yake yako hapa
Ishu ya ugomvi au kutoelewana kati ya rapper T.I na bondia Floyd Mayweather kisa Mayweather kuhusishwa na ishu ya kulala na mke wa T.I. !! leo imepata headline nyingine baada ya T.I kuhojiwa akiwa anatembea town. Kwa ufupi ameonekana kukanusha kuyatambua mambo kadhaa yaliyotokea na kusisitiza ameshafunga mjadala wa kuongelea ishu yake na Mayweather, hakuna ugomvi kati yao
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment