Jua Alicho Majibu Ya Ray c TID Baada Ya Kumtukana Soma Kujua Zaid - COW BOY BISHOO

Breaking

Wednesday, 9 July 2014

Jua Alicho Majibu Ya Ray c TID Baada Ya Kumtukana Soma Kujua Zaid

Ray C ameyatoa majibu yake kupitia Instagram katika ujumbe alioukuwa wamewalenga pia mashabiki wake.
“Hi everyone!!!Asanteni kwa maombi yenu!mama anaendelea vizuri Mungu ni Mwema…………(na kuhusu @tidmnyama -Nimeona post yako,Asante kwa matusi yako ila sikuwa na nia mbaya tofauti na ulivyofikiria anyway Nakuombea kwa Mungu akuepushe na majanga ya dunia!ubarikiwe sana babaa………..”
Sintofahamu kati ya Ray C na TID ilikuja baada ya Ray C kuandika kwenye post ya TID akimuomba waongee, “Come lets talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk @tidmnyama.”
Ingawa hakufafanua alichotaka kuzungumza nae, mmiliki huyo wa Top Band aliweka maelezo yake yenye matusi.
“Bich leave me alone am not ur type also I dont need shit from you,ur mistake is yours nakuomba can u jus fck off,help ur boyfriend,I have never liked you,full stop

No comments:

Post a Comment