Utambulisho wa Team Sharobaro umefanyika katika kipindi cha Power Jams cha East Africa Radio ambapo kundi hilo limeutambulisha pia wimbo wao mpya unaoitwa Alele.
Bob Junior ameeleza kuwa katika wimbo huo pia lipo jibu lake kwa Mr Blue ambaye alikaririwa akisema kuwa hakuna Masharobaro hivi sasa.
“Hakuna mwandiko wa wima wala wa ‘micharazo hapa’…”
Soon utaupata wimbo huo hapa www.cowboybishootz.com.

No comments:
Post a Comment