Kupitia Instagram kwenye Account ya William Mtitu ameandika kuwa ameamua
kujivua rasmi uongozi wa Club ya Bongo Movie. Mtitu amesema Nanukuu...
"Kwa
kulinda heshima yangu binafsi nayakampuni yangu nimeona mimi kama MTITU
nijivue rasmi leo nafasi ya uongozi na nitabaki kuwa kama mwanachama wa
kawaida wa CLUB ya bongo movie sababu kiukweli SIPENDEZWI kwa asilimia
kubwa na jinsi club inavyoendeshwa na sioni kama tunaelekea popote
badala yake club imekuwa ni sehemu ya baadhi yetu kujipatia mkate wa
kila siku kwa kutumia JINA LA CLUB ...kitu ambacho SIKUBALIANi NACHO. Na
ikumbukwe sina ugomvi wala chuki na mtu yeyote ndani ya bongo movie....
Wacha maisha yaendelea kama zamani.. Nawatakia wèek end njema... @all 16.08.2014"
Sunday, 17 August 2014
New
Fahamu Mtitu ajivua rasmi uongozi wa Bongo Movie Clik Picha Kusoma Kamili
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment