![]() | |
Kwa mujibu wa TMZ, Bieber alikuwa amekaa kwenye seat ya abiria ambapo gari lingine aina ya BMW liligonga mlango wa upande huo. Kwa bahati nzuri, hakuna aliyeumia katika ajali hiyo na Justin alihamia kwenye gari nyingine na kuendelea na safari.
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
No comments:
Post a Comment