Kitale ambaye wiki kadhaa alikua anatengeneza filamu yake aliyoipa
jina la Ndoa ya Teja sasa walipomaliza kurekodi kuna baadhi ya vitu
hawakuviacha vizuri sehemu waliyoomba kufanya kazi hiyo.
Soudy Brown kampata mama mwenye nyumba iliyofanyika shughuli hiyo pamoja na Kitale mwenyewe,wote wamezungumza.
96.0 Clouds Fm inasikika ukiwa Tanga.
Bonyeza play kusikiliza.
Friday, 18 July 2014
New
Sikiliza Kisanga alichokiacha Kitale kwenye nyumba waliyoenda kuigizia filamu yake
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment