Manager
wa Mkubwa na wanae Said Fella amezungumzia taarifa zilizosamba kuwa
msanii wake Bibi Cheka ameacha muziki.
Said Fella amesema taarifa hizi
sio za kweli kabisa na kwamba kaka Bibi Atataka kuacha muziki basi yeye
kama manager wake ndiye atatoa taarifa hizo.
Fella ameongezea kuwa Bibi Cheka amekuwa akikutana na changamoto
nyingi kama kusemwa vibaya na watu wa karibu yake kuwa anafanya muziki
na watoto na kukosolewa kuhusu mavazi yake [Jeans] anayovaa kwenye
jukwa.
Bibi Cheka anakuja na wimbo mpya umefanywa na Producer Shirko.
Tuesday 16 September 2014
New
NEWS;;;;Said Fella Azungumzia Tetesi Za Bibi Cheka Kuacha Muziki Clik Picha Kusoma Zaid
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment