MillardAyo, Babu Tale amesema binafsi ameshangaa baaada ya kusikia kuwa Diamond ametoa wimbo mpya aliourekodi kwa producer Tuddy Thomas.
‘Ni Kweli wimbo umevuja ila sio official yenu sisi hatuwezi kuchukua
uamuzi wowote ila tutaufanyia mastering na tuta u realese kama official
na wala hatuwezi kumlaumu producer Tuddy Thomas’– alisema Babu Tale.
Huu ndio wimbo uliovuja wa Diamond Platnumz uitwao Nasema Nawe Huu apo Chini:
Friday 16 January 2015
New
Baada ya ngoma ya Diamond Platnumz 'Nasema nawee' kuvuja, Haya ndiyo maneno ya Babu Tale
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment