Kupitia exclusive interview na Power Jams, Ney wa Mitego amezungumzia hatua ya Nikki Mbishi ya kuacha muziki nakusema “Ukiona kitu hakikulipi ni bora uachane nacho, mtu anaweza kuangalia kitu na kujua hakimfai na bora afanye mambo mengine ”
Ney aliendelea kusema ” Sijui kwanini
amechelewa, nimefurahi kuona maamuzi mazuri kijana mwenzangu aliyofanya,
amejitambua na kuamua kuangalia vitu vingine, niko tayari kumshauri
kama bado hajapata cha kufanya” .
Tuesday 6 January 2015
New
Nay wa Mitego: Nikki Mbishi alichelewa kuacha muziki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment