T.I.D:Amdiss Diamond platnumz wakati aki-perform Weekend Hii - COW BOY BISHOO

Breaking

Monday 26 January 2015

T.I.D:Amdiss Diamond platnumz wakati aki-perform Weekend Hii

Jumapili ya tarehe 25/01/2015 siku ya uzinduzi wa video ya Adam Mchomvu "tiririka" iliyofanyika club billz,moja kati ya wasanii waliopanda kwenye stage ni pamoja na T.I.D.....................
Wakati msanii huyo amepanda kwenye stage,alipanda na ku perform nyimbo nusu nusu lakini kilichio ingia kwenye headlines ni pale alipo anza kurusha hela kwa mashabiki kwa kitendo cha kama diss kwa msanii mwenzake.

Siku ya Jumamosi tarehe 24/01/2015 kabla ya show hiyo ya billz. katika viwanja vya leaders kulikua na tamasha amabalo waliapanda wasanii kibao ku perform.Kilicho make headline zaidi ni pale Diamond platnumz alipo mwaga hela kwa mashabiki wakati akiwa kwa stage.

Sasa alichokifanya T.I.D ni kama malipizo kwa Diamond huku akitamka maneno machafu kwa msanii huyo,alisikika akisema
"mna kazi ya kumwaga hela kwa mashabiki lakini bado mazomewa*****
Alisikika akiongea kauli hizo mara kwa mara.Mashabiki walio ingia kwenye show hiyo walisema hilo ni dongo moja kwa moja kwa Diamond Platinumz kwani hakuna msanii hivi karibuni aliefanya show na kumwaga hela kwa mashabiki.

No comments:

Post a Comment