Taarifa kutoka Kenya naambiwa watu wanne waliokua kwenye ndege
iliyokua ikipaa kutoka uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi kuelekea
Mogadishu Somalia wamefariki dunia baada ya Ndege hiyo kuanguka katika
eneo la Utawala dakika chache baada ya kupaa,
Ajali hiyo imetokea alfajiri ya July 02 na inaaminika kwamba ndege
hiyo ilikua iondoke mapema kusafirisha zao la Mirungi na bidhaa
zinginezo kuelekea Somalia.
Walinzi wawili walijeruhiwa mmoja ametibiwa na kuruhusiwa kwenda
nyumbani huku mmoja amelazwa katika hospitali ya mama Lucy,kwa mujibu wa
mkuu wa polisi Jijini Nairobi Benson kibue amethibitisha ajali hiyo na
kusema kuwa Ndege hiyo yenye nambari 5Y-CET ilianguka kwenye paa la
jengo la kibiashara likijaribu kutua ghafla na kushika moto papo hapo
likiteketeza watu wanne waliokua ndani.
Wednesday, 2 July 2014
New
Jua Kuhusu Ndege Iliyo Dondoka Alafajiri Ya jully 02 Kenya click picha
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment