Sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia
kuitoa hivi karibuni. Noti ya Mia Tano maarufu kama 'Jelo' itaendelea
kutumika, ila itaondolewa taratibu katika mzunguko, kwa mujibu wa
Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa BoT, Bw Emmanuel Boaz,
aliyeiambia Globu ya Jamii kwenye banda
la Benki Kuu katika Maonesho ya SabaSaba
jijini Dar es salaam.
Monday, 7 July 2014
New
Umesha Iyona Shiling Miatano Ya Sarafu Tutakayo Tumia iyo apo Click Kujua Zaidi
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.jpg)
No comments:
Post a Comment