|
Kama Unakumbuka Kuna Sauti Iliyo Vuja Ya Wema Na Nuh Mzwanda Nuh Akimtongoza Wema Sepetu Lakini Nuh Mziwanda Alikana Akasema Yeye Wanamchafua Tu.........Sasa Leo INSTAGRAM NUH MZIWANDA KAANDIKA YAHA KWA WEMA SEPETU |
Nakupa hongera kwa kufanikiwa kutoa amani katika mapenzi yangu mimi Na
zuwena'maana hukua na nia njema wewe pamoja na team yako'na hata kama
ingekua kweli ungemfata pembeni zuwena na kumweleza kua bwana ako
anantongoza na sauti zake hizi hapa'lakini ukaona sio ishu na kuachia
mitandaoni'mradi kuniaibisha mimi pamoja na na huyo unaesema unampenda
sana na ni shoga yako'kingine Wema umetongozwa na wangapi hapa duniani
kwann usiweke Voic note zao?yani moja kwa moja umetaka kusambalatisha
mapenzi yetu na now naona mnaanza kutumana kumtongoza shishi'well madam
nakupa salute zako'najua unaishi kwa amani na raha 'ila huku umekiwasha
mpka mtu unakua hauna amani ya moyo na ukizingatia sijawahi hata kukaa
na ww tukapga stor wala kuona undani wa mwili wangu'kipindi una kampeni
uling'ang'ania sana niingie kwenye group yako ya whatsup for supporting
you'kumbe unanichekea kinafiki na ulikua na mabomu yako umeyapanga
kuyalipua 'sawa mama angu ila mimi nimetoa ya moyoni mwangu kwako na
naamini ujumbe utakufikia mana nimeshindwa kukaa na duku duku'sisi wote
binadam na hatuna garantee ya kuishi'salute kwako kwa ulichofanya
No comments:
Post a Comment