Mwanaume mmoja amebakwa katika barabara ya daraja lenye shughuli
nyingi mjini Newcastle baada ya kukubali kupanda lifti ya mtu asiyemjua.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 24 aliingia kwenye gari hilo dogo
mapema alfajiri ambapo alifanyiwa kitendo hicho cha ubakaji katika eneo
lenye nyasi nyingi karibu na daraja la Redheugh, Newcastle.
Timu ya uchunguzi wa makosa ya ubakaji hivi sasa inaendesha msako wa
mtu aliyetekeleza kitendo hicho na kuwataka mashuhuda kujitokeza
hadharani.
Afisa upelelezi kutoka mji wa Newcastle, Caroline Ord, amesema hili
ni tukio baya zaidi kutendewa kwa kijana huyo ambapo sasa polisi
wanafanya kazi bega kwa bega na mtu huyo kuhakikisha wanampata
aliyetenda kosa hilo. TOA MAONI YAKO APO CHINI
Wednesday, 2 July 2014
New
Umeskia Mwanaume Aliye Bakwa Baada Ya kupanda Rifti Ya mtu Asiye Mjua Taarifa iko Hapa click Picha
About Cow Boy Bishoo Tz
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment