Umeskia Mwanaume Aliye Bakwa Baada Ya kupanda Rifti Ya mtu Asiye Mjua Taarifa iko Hapa click Picha - COW BOY BISHOO

Breaking

Wednesday, 2 July 2014

Umeskia Mwanaume Aliye Bakwa Baada Ya kupanda Rifti Ya mtu Asiye Mjua Taarifa iko Hapa click Picha

Mwanaume mmoja amebakwa katika barabara ya daraja lenye shughuli nyingi mjini Newcastle baada ya kukubali kupanda lifti ya mtu asiyemjua.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 24 aliingia kwenye gari hilo dogo mapema alfajiri ambapo alifanyiwa kitendo hicho cha ubakaji katika eneo lenye nyasi nyingi karibu na daraja la Redheugh, Newcastle.
Timu ya uchunguzi wa makosa ya ubakaji hivi sasa inaendesha msako wa mtu aliyetekeleza kitendo hicho na kuwataka mashuhuda kujitokeza hadharani.
Afisa upelelezi kutoka mji wa Newcastle, Caroline Ord, amesema hili ni tukio baya zaidi kutendewa kwa kijana huyo ambapo sasa polisi wanafanya kazi bega kwa bega na mtu huyo kuhakikisha wanampata aliyetenda kosa hilo.    TOA MAONI YAKO APO CHINI

No comments:

Post a Comment